Mc Pilipili Afunguka Kuhusu Aliyefungua Shampeni kwa Mdomo.

Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Mc pilipili amefunguka na kuongelea kwa undani kuhsu video iliyokuwa inesambaa sana katika mitandao ikimuonyesha bibi mmoja akiwa anafungua shampeni kwa mdomo ikiwa katika sherehe hiyo akiwa ni mshereheshaji .

Mc Pilipili anakiri kuwa mtu huyo alikuwa ni ndugu wa bibi harusi lakini anaonekana alikuwa aamekwisha pendeza huku waliomuandaa kwa ajili ya shughuli hiyo wakiwa hawajamuandaa kwa hilo.

download latest music    

sio kwamba kule bagamoyo watu hawajui kufungua shampeni kwa sababu muda wa kufungua ulipofika nilitakiwa kuwaita watu walioandaliwa sasa sijui kama yule alikuwa tayari ameandaliwa sijui, lakini ukiandaliwa ni kwamba unakuwa umeikamia sherehe,yule mama alikuwa tayari ameshapendea na hata alipokuja pale wengine walikuwa tayari wameshafungua na nikagundua kuwa ni yeye pee yake ndio bado hajafunfua shanpeni na tkiwa tunakuwa uwa tunaambiwa fungua soda kwa mdomo kwaio nahisi na yeye aliamua kujichanganya pale akijua ni kazi rahisi.

Mc pilipili anasema kuwa bibi yule alikariri kuwa kinywahi chochote cha kwenye chupa basi kinafunguliwa na mdomo, na kwa upande wake huwa anaongea kama utani kuwa ukiweza fungulia hata mdomo na ndipo alipoona isiwe tabu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.