MC Pilipili Amuanika Mpenzi Wake na Kutangaza Naye Ndoa

Mchekeshaji na Mshehereshaji maarufu wa sherehe nchini Emmanuel Mathias ‘Mc Pilipili’ amemuanika mpenzi wake mpya na kutangaza rasmi kuwa anataka kufunga naye ndoa.

MC Pilipili alitangaza ndoa yake Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo aliweka video na picha mbali mbali za baadhi ya watu watakao husika katika maandalizi ya Harusi hiyo.

download latest music    

https://www.instagram.com/p/BmDfez8DDlB/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=qokxdefv96ez

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.