Mc Pilipili Ashinda Tuzo Nchini Nigeria

Mchekeshaji maarufu nchini  ameshinda tuzo ya Scream Award zilizokuwa zikitolewa nchini Nigeria.Mchekeshaji huyo wa siku nyingi amepata tuzo hiyo ambapo alikuwa akishindana na wachekeshaji wengine wengi wanaotokea nchini Nigeria na nchini Ghana huku mtanzania akiwa peke yake.

Mc Pilipili ameshinda tuzo hiyo katika kipengele cha Youth  Comedian Of the year ,akiwa ni mmoja kati ya washiriki 12 kutoka afrika.

download latest music    

Hii ni dalili nzuri kwa tasnia ya sanaa tena hasa upande wa maigizo ya vichekesho ambayo kwa hapo mwanzo yalikuwa hayapewi tija sana kama sanaa nyingine zinavyoangaliwa kwa upana wake.

Hii pia inatoa fursa na kufungua njia kwa wasanii wengine wa vichekesho kuendelea kukaza buti na kujuliakna nje ya nchini ili kuendelea kukuza tasnia hiyo amabyo imekuwa ikidharaulika sana tofauti  sanaa nyingine zote.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.