Mc Pilipili Augulia Maumivu Baada ya Aliyekuwa Mpenzi wake Kufunga Ndoa

Mchekeshaji Emmanuel Mathias maarufu kama Mc Pilipili amefumguka na kuongele maumivu aliyoyapata bada ya mwanake aliywahi kuwa nae kufunga ndoa na mwanamke miwngine huku yeye akiwekwa kama mc wa shughuli hiyo.

Ingawa bado haijafahamika kama ni kiki au vipi lakini kupuia ukurasa wake wa instagram, Mc Pilipili aliweka picha ikimuonyesha Nicole Franklyn akiwa na Mc Pilipili na kuandika maneno yenye kuonyesha maumivu sana  kwa kitendo alichoamua kukifanya.

download latest music    

Nicole huyu ni wewe ukinivua koti nilipokuwa nimetoka kuchekesha, ukiwaumevaa jezi yangu ya SIMA MABINGWA kweli umeamua kuolewa na huyu MWIJAKU  ambae hanigusi kwa lolote  wigi lako bado liko nyumbani ilo ulilovaa hapo na kanga yako pia  , USIACHE MBACHAO KWA MSAALA UPITAO.

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.