Mc Pilipili Augulia Maumivu Baada ya Aliyekuwa Mpenzi wake Kufunga Ndoa
Mchekeshaji Emmanuel Mathias maarufu kama Mc Pilipili amefumguka na kuongele maumivu aliyoyapata bada ya mwanake aliywahi kuwa nae kufunga ndoa na mwanamke miwngine huku yeye akiwekwa kama mc wa shughuli hiyo.
Ingawa bado haijafahamika kama ni kiki au vipi lakini kupuia ukurasa wake wa instagram, Mc Pilipili aliweka picha ikimuonyesha Nicole Franklyn akiwa na Mc Pilipili na kuandika maneno yenye kuonyesha maumivu sana kwa kitendo alichoamua kukifanya.
Nicole huyu ni wewe ukinivua koti nilipokuwa nimetoka kuchekesha, ukiwaumevaa jezi yangu ya SIMA MABINGWA kweli umeamua kuolewa na huyu MWIJAKU ambae hanigusi kwa lolote wigi lako bado liko nyumbani ilo ulilovaa hapo na kanga yako pia , USIACHE MBACHAO KWA MSAALA UPITAO.