Mcheza Mpira wa Swansea Akiri Kuipenda Chura ya Snura
Mchezaji mpira wa club ya Swansea amaefunguka na kusema kuwa anavutiwa na kuupenda sana wimbo wa snura wa chura na kusema kuwa unavutiwa kuusikiliza lakini pia anawataja baadhi ya wasanii ambao wanafanya vizuri katika movies za bongo.
Mchezaji mpira huyo anaejulikana kwa jina la Bony, akiongeana waandishi wa habari akiwa nchini jijini dar anasema kuwa wimbo huo ni mzuri kuuangalia na pia ni mzuri kuusikiliza na video yake inavutia sana kwa wanaume ambao wanaangalia jinsi wanawake wanavyocheza.