Mdogo wa Alikiba Katika Penzi Nzito na Star wa Taifa Stars

Ndugu wa kike wa msaini alikiba , Zabibu Kiba amejikuta katika penzi zito na mchezaji wa mpira nchini tanzania kutoka katika timu kubwa nchi ya Taifa Star anaejulikana kama  Abdi Banda .katika ukurasa wake wa instagram , mcheza mpira huyo amekuwa akimpost na kuweka picha za mwanadada huyo mara kwa mara na hata kufanya watu waanze kuingilia mahusiano yao kwa kuwasahauri kuoana kabisa.

                                               

download latest music    

                                    Abdi Banda mchezaji wa Taifa Stars.

Kwa muda mrefu haikuwahi kufahamika mtu wa karibu wa mwanadada huyo  lakini kadri siku inavyozidi kwenda mambo yanazidi kuwa mambo kwa sababu mapenzi ni kama kikohozi huwa hayajifichi kabisa.

Katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwanadada huyo, Star huyo aliandika na kuweka picha yake kwa ajili ya kumatakia kheri ya siku hiyo ya kuzaliwa kwake.

                                             

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.