Meneja wa Diamond Agundua Njama za Kumshusha Diamond

Meneja wa msanii mkubwa Tanznaia na afrika kwa  amefunguka  na kutoa siri juu ya njama za kumshusha msanii  Diamond platinumz zinazofanywa chinichini kwa ajili ya kumshusha na kumuua msanii huyo kimuziki.

Sallam Sk anasema kuwa kuna watu wamekuwa na njama za kumshusha Diamond kwa kumpakazia skendo mbalimbali lakini hawataweza kwa kipindi hiki cha utawala wa raisi magufuli kwa sababu hakuna atakaeweza.

download latest music    

katika ukurasa wake wa instagram sallam sk ameandika”kumbe tatizo ni kumpoteza huyo kijana, waambie familia yako na wazazi wako waliokuleta kuwa huyo mtoto kaletwa duniani kwa makusdi katika maisha haya.ili kuleta ukombozi wa dhuluma uliokuwa ukitendeka katika taifa hili.unatakiwa kujua kwamba hili taifa sasa raisi wake anaitwa John Pombe Magufuli’

Hivi karibuni dimaond amekuwa akikumbwa na skendo nyingi sana ambazo kwa kawaida zingeweza kumchafua hata kufanya kazi zake za muziki kutokufanya vizuri kabisa.Na skendo kubwa alikuwa nayo ni ile ya kutembea na wanawake tofauti tofauti lakini inaovyosemekana yupo mtu nyuma ya pazia anayepigana kuua muziki wa Diamond.

Kumekuwa na maneno madogo madogo yanayoendelea katika mitandao na captions tofauti tofauti katika page za wasanii na waandishi wa Clouds Tv hasa wale wa kipind cha shilawadu .

                                                       

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.