Meneja wa Diamond Aitibua Mahakama.

Meneja wa msanii Diamond Platnumz anaejulikana kama Babu Tale anazidi kuitibua mahakama baada ya kutakiwa kufika mahakamani wiki hii lakini kushindwa kufika kwa madai ya kuwa nje ya nchi huku akiwa alishakatazwa  kutoka nje ya nchi ikiwa kesi yake ikiendelea mahakamani.

Meneja huyo ambae alikuwa na kesi ya madai baada ya kampuni yake kufanya matangazo na baishara ya  kanda za dini za shekhe mmoja jijini dar es salam bila ridhaa yake na kuamuliwa kulipa fidia lakini alishindwa kulipa fidia na kutokomea kabisa.

download latest music    

HGata hivyo baada  ya kesi hiyo kuendelea kwa muda mrefu ilisogezwa mbele kwa siku kadhaa kutokana na kutokuwepo kwa wahusika hasa majaji waliokuwa wakishughulikia kesi hiyo.

Babu Tale alipewa masharti moja wapo ikiwa kutokusafiri nje ya nchi mpaka kesi hiyo itakapo kwisha lakini kesi yake ilipotajwa hapa mara ya mwisho babu tale alishindwa kuhudhuriwa kwa kupata dharura ya kusafiri.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.