Mfahamu Mmiliki wa Wasafi tv na Muandaaji wa Wasafi Festival

Mara  nyingi watu wamekuwa wakijiuliza hasa kutokana na taarifa zinazosambaa katika itadano kuhusu umiliki wa televisheni ya Wasafi Festival ambayo haina muda mrefu tangu kuanza kufanya kazi.

Basi katika moja ya magazeti ya kuaminika gazeti la Mwananchi linatoa tarifa kuwa wasafi tv imekuwa na hisaya watu watatu tofauti ambapo, mmoja wapo ni Juhayna Zughalulu 53%, Diamond Platinumz 43% na  Ali khatib dai 2%.

download latest music    

Hivyo basi mwenye hisa kubwa ndio mmmilkki halali wa kampuni hiyo ambae ni juhayna zughalulu, je juhayna ni nani? hilo ni swali la kujiuliza lakini rudi katika kumbukumbu zako na utajua hayo yote.

Juhayna ni mke halali kabisa wa bwana joseph kusaga ambae ni mmiliki mwenzi wa clouds media , hivyo basi kumbe hata wasafi tv ina mkono wa clouds media.

hivyo basi hata kwa kuangalia , utakuja kujua kuwa kuna muingiliano mkubwa kati ya wasafi tv na clouds media, alkini pia maswali yanazidi kutanda kwa mashabiki kuwa kma wawili hawa wana muingiliano kwanini basi kunakuwa na ushindani kati ya wasafi na clouds ?haa nibaadhi ya maswali ya kujiuza lakini yanakosa majibu kwa sababu kama kweli wawili hawa wanataka kufanya kazi ya kuleta burudani basi walitakiwa kuingiliana na kufanya kazi pamoja ili kufanikisha lengo lao.

 

 

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.