Mh Kangi Lugola Akiri Kumkubali Diamond Platinumz.
Mh waziri wa mambo ya ndani ya nchi mh Kangi Lugola ameonyesha kumkubali msanii diamond Platinumz kwa kazi kubwa na nzuri anayokuwa akiifanya ya kuusambaza muziki wa Tanzania nje ya nchi kwa kishindo na kwa jitihada kubwa.
Diamond ambae hivi sasa yuko nje ya nchi na nchini Madagascar alikofanya show yake wikiend hii na kujaza watu kibao katika uwanja aliofanyia show, huku ikisemekana kabisa kuwa katika watu wengi walihudhuria walikuwa hawajui kiswahili.
katika ukurasa wa diamond , mh kangi aliweka comments na kuandika,” Hongera sana you make our tanzania country to feel proud of having you, may god bless you.”