Mimba na Ukimwi Vilinitesa Sana:-Gigy Money
Mwanadada Gigy Money amefunguka na kusema kuwa katika ukuaji wake hakuna kitu kilichokuwa kikimchanganya sana kama kila nasaha anayopewa na mama yake ilikuwa ikizungumzia mimba na ukimwi kamavitu vya kuogopa katika maisha yake yote.
Gigy money anasema kuwa pindi alipopevuka na kuanza kuingia katika hatua za ujana mama yake alikuwa kila siku akimwambia kuna mimba na ukimwi hivyo kuepuka na vishawishi vitakapompelekea kupata hata kimoja ni kwisha kabisa.
akiongea na kikaangoni live, gigy money anasema”nilippopevuka tu mama yangu aliniambia kabisa kuna mimba na ukimwi,na hivi vitu vlinisumbua sana lakini vilinisaidia