Mimba Yamtoa Lulu Gerezani

Kwa sasa amekuwa akitumikia kifungo cha nje kinachomfanya baadhi ya watu wamuone kipindi anaingia na kutoka katika eneno lake husika analifanyia adhabu, hata hivyo kwa waliomua lulu wanadai kuwa mwana dada huyo anaonekana katika hali sio ya kawaida kutokana na mwili wake ulivyo.

Kwa waliomzoea Lulu wanasema kuwa mwanadada huyo ni mjamzito kwa sababu tumbo limekuwa kubwa kidogo lakini pia hata mwili wake hasa vidole vimevimba na pia mara nyingi amekuwa akionwa na watu akitema sana mate kitu kinachowafanya watu wengi kuamini kuwa inawezekana mwanadada huyo ni mjamzito na ndicho kilichomplekea kutoka gerezani.

download latest music    

Jitihada za kumtafuta ziligonga mwamba hasa baada ya lulu kukataa kuongea na waandishi wa habari kwa sababu bado hajamaliza kifungo chake ;lakini pia hataki kuongea na waandishi wahabari kwa sababu anataka kuanzia sasa maisha yake yawe ya kwak bil kushirikisha mitandao.

Waandishi hawakuishia hapo wakaona bora kutafuta  wazazi na watu wa karibu wa Lulu   kuuliza kuhusu taraifa hizo ndipo walipojibu kwa lulu sio mjamzito lakini hiyo ni hali ambayo anweza kuwa nayo mtu yoyore hasa mtu aliyezoea kufanya mazoezi kisha akaacha kwa muda kama walivyoambiwa na daktari.

kutokana na hali hiyo sasa , watu wengi wamekuwa wanajipa majibu kuwa inawezekana msamaha wa lulu   kutoka kwa rais pia ulianagalia sana hali yake ya kiafya.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.