Mimi Mars Amkana Rammy Gallis Kweupe

Siku chache baada ya msanii wa bongo movies Rammy Gallis kufunguka na kusema kuwa moja ya wasanii wa kike anaowakubali sana katika game la bongo fleva ni Mimi mars na kusema kuwa anatamani sana kuonana nae siku moja na hata kutaka kuwa mpenzi wake.

mimi mars nae alifunguka na kusema kuwa kwa upande wake hawezi kukubali kiurahisi kiasi icho kwa sababau hamjui Rammy gallis zaidi ya kumsikia sana kipindi ambacho kulikuwa na msiba wa mmwanadada Agness masogange na hiyo ni kutokana na skendo yake ya kuanguka kwa kuzimia ndipo alipomfahamu Rammy.

download latest music    

jaman hapana yule kaka sijawahi kusemakokote na kwanza nilimuoa kwa mara ya kwanza katika msiba wa agness alipokuwa amezimia huku akiwa ameshika kitambaa,  na wala sio vinginevyo kabisa, sijawahi kumtajasehemu yoyote ile , sijawahi kusema ninampenda au ninataka kuonana nae.

Katika moja ya mahojiano ya rammy hapa karibuni alisema kuwa yeye anampenda mimi marsa kwa sababu hata yeye aliwahi kumsikia dada huyo akisema anampenda.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.