Mimi Mars Kurejea Kwenye Utangazaji Tena
Mwanadada mimi mars amefunguka na kuweka wazi kuwa hivi karibuni atarudi kwenye tasnia ya utangazaji aliokuwa kiufanya hapo mwanzo kipindi hajajikita sana katika muziki.mimi mars amae hapo mwanzo alikuwa akitangazaji kipindi cha weekend gossip kupitia tv 1 anasema kuwa anatarajia kurudi tena katika fani yake hiyo.
Mipango ya kurudi huko bado hipo na chamsningi ni ku-keep up na mimi tu ili kujua ni lini na wapi kitaanza na sehemu gani.
Hakutakuwa na utofauti sana kwa sababu kupitia kile kiindi ndipo watu wemgi walikuwa wakinijua mimi mars na mashabiki wangu wengi niliwapta kupitia hapo, mapka ninaingia katika muziki.–Alifunguka MImi Mars alipokuwa akiongea na Bongo5.