Mimi Mars- Napenda Kufanya Kazi Na Wasanii Wengine

Mwanamuziki wa Bongo fleva Marianne Mdee maarufu kama Mimi Mars amefunguka na kuweka wazi kuwa moja kati ya vitu anavyopenda ni kishirikiana na wasanii wenzake kumaanisha kufanya kolabo.

Mimi mars ameweka wazi kuwa kufanya Kolabo na wasanii mbali mbali ku amefanya ajisikie vizuri kwani anaamini kuwa ushirikiano kati ya wasanii ni kitu kizuri sana.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Mikito Nusu nusu Mimi Mars ambaye hivi karibuni amepiga kolabo na Frankie Maston na Yeyo Leslie, wa ngoma iitwayo Mi Nawe, amesema kushirikiana kwenye muziki ni kitu kizuri na ikitokea akihitajika na mtu.

Mimi Mars alijizoelea umaarufu baada ya kutoa Single yake ya kwanza lakini moja ya kitu ambacho kilimpa umaarufu zaidi ni kuwa dada wa staa wa Bongo fleva Vanessa Mdee.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.