Mirror- Sipo Chini Ya Wema Lakini Nampenda Sana

Staa wa Bongo fleva Mirror aliyetamba na nyimbo zake kali kama Baby na One and Only ametangaza rasmi kurudi kwenye gemu.

Mirror alijizolea umaarufu baada ya kusainiwa chini ya Endless Fame ya mwanadada wa Bongo movie Wema Sepetu.

download latest music    

Baada ya kimya kirefu Mirror ameifungukia Millard ayo Tv na kuweka wazi kuwa alikuwa amepata ajali kubwa ya gari lakini hivi sasa anaendelea vizuri na yupo tayari kurudi kwenye gemu.

Mirror ameweka wazi kuwa kwa hivi sasa amefanikiwa kupata management mpya ambayo ndiyo itakayohusika na kusimamia kazi zake na mara tu mwezi mtukufu utakapoisha basi staa chia Rasmi wimbo wake mpya.

Lakini pia Mirror amekana tetesi zote zilizosambaa kuwa amegombana na Wema Sepetu na Petit Man na kusema hana ugomvi na Wema na anampenda kama Mama yake na hata hivisasa akitaka ushauri kuhusu kazi zake basi anamtafuta Wema na Petit.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.