Mitandao ya Kijamii Inaleta Wivu Baina ya Watu:-Nikki Mbishi

Msanii wa rap nchini , Nikki mbishi amefunguka na kutoa maoni yake juu ya athari kuwa zinazoletwa na mitandao ya kijamii  nchini hasa kwa wasanii ambao wanakuwa wanasikiliza sana maneno ya mitandaoni.

Nikki anasema kuwa moja ya athari kubwa ya mitandao ya kijamii ni kuleta wivu  na chuki kwa watu wanaoitumia kutokana na amneno yanayokuwa wakizushwa na pengine kusambaa  kwa kasi katika mitandao ya kijamii huku maneno hayo mengine yakiwa yanachafua jina la wahusika,

download latest music    

Nikki anasema kuwa kuna watu pia wamekuwa na taia ya kujitangaza kuwa wana mali nyingi na kuwafanya wenzao kuwaonea wivu hata kuwachukia  na mwisho wa siku kuna kuwa hakuna ukweli owowte juu ya umiliki wa mali hizo.

Mitandao ya kijamii inajenga wivu miongoni mwa watu,unakuta mtu anajitangaza mara ana hiki mara ana kile watu wanajikuta wanapata chuki na kuanza kumchukia kumbe hana hata kitu ni maisha ya mtandaoni tu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.