Mkali Wenu Atangaza Kumzidi Alikiba Kipaji.

Msanii wa vichekesho nchini.  Mkali wenu amefunguka na kusema kuwa tatizo kubwa  kwake ni kwamba hayuko serious na kufanya muziki lakini ikitokea kuwa anataka kufanya muziki basi  anaweza kumzidi hata msanii Alikiba kwa kipaji.

mkali wenu anasema kuwa ameamua tu kufanya kazi ya kuchekesha lakini ikitokea kaamua kuna wasanii wengi sana anaweza kuwafunika katika muziki.

download latest music    

nikiamua kuwa serious kabisa na kuimba,  basi uwezo wangu ni mkubwa zaidi ya alikiba tena ukizingatia na nyimbo zake za ajabu ajabu ndo haniwezi kabisa.

Lakini pia mkali wenu anasema kuwa alishawahi kumuandikia moja ya wasanii kutoka WCB wimbo wa hodari ulioimbwa na Mbosso.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.