Mke Mwenzie na Muna Afungukia Mahusiano Yake na Peter

Wiki chache zilizopita picha za mume wa Muna Love, Peter Zacharia na mwanamke mwingine anayeitwa Rehem zilisambaa Kwenye mitandao ya kijamii.

Picha hizo zilizowaonyesha Peter na Rehem wakiwa kwenye mahaba mazito kitandani zilisambaa na kusababisha maneno maneno ambapo Peter alikuja kuweka wazi kuwa aliyesambaza picha hizo ni Muna.

download latest music    

Rehema ameibuka na kuweka wazi kuwa zile picha hazina tatizo kwa sababu yeye na Peter wote ni watu wazima alafu Muna ndio alimuacha Peter.

Kwenye mahojiano na Global Publishers  Rehema amesema kwamba anamjua aliyezisambaza picha hizo ila kiufupi Muna atambue yule baba ni mtu mzima na yeye aliondoka kwa hiyo asingeweza kuvumilia kuishi bila ya kuwa na uhusiano.

Jamani Peter ni mtu mzima siyo mtoto, Muna atambue kuwa aliondoka kwake hivyo asingeweza kuishi mwenyewe“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.