Mke wa Babu Tale Afungukia Wivu wa Kimapenzi

Mke wa Babu Tale Shamira, ambaye ni Meneja wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amefungukia wivu wa mapenzi alionao kwa mume wake.

Mke wa Babu Tale amefunguka na kuongelea wivu wa mapenzi juu ya mume wake ambaye muda mwingi anakuwa na Diamond ambapo wanakuwa wanazungukwa na wanawake warembo.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Bongo 5, Mke wa Babu Tale na aliulizwa anajisikiaje pale anapomuona mume wake akipiga picha na warembo mbalimbali wakati akiwa kwenye shughuli zake za kikazi.

Wivu upo lakini unategemea upo kwa kiwango gani na wivu ukiuendekeza mtakwama”.

Kwa upande wa Babu Tale alidai kwa kuwa yupo kwenye tasnia ya burudani kwa muda mrefu amejifunza hawezi tembea na mke wake kila sehemu ila mkiwa mnaaminiana inakuwa jambo jema zaidi.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.