Mke wa Roma amchana mrembo aliyemkalia Roma akitumbuiza jukuwaani hivi karibuni

Kuolewa na msanii ni kitu ngumu sana kwani unapaswa kuwa na subra ya kuelewa kuwa hiyo pia ni kazi. Hata hivyo mke wa Roma ameonyesha kukerwa na mwanamke aliyemkalia Roma wakati alipokuwa akipiga show yake ya kwanza tangu tokeo lake la kutekwa miezi kadhaa iliyopita.

Mrembo huyu alifunguka kuhusu tekeo hilo kupitia mtandao wake wa Instagram huku akisema kuwa alitamani sana kupanda jukwaani kumshusha yule binti….aliandika kusema,

download latest music    

 

Kuwa Na Mume Msanii Wakati Mwingine Ni #Stress Nyie Acheni Tu Jamani!!!
.
.
Aaaf kuna vibinti ndiyo kama vinafanya makusudi

Kama Huyu!!!
Nilitamani Nipande Jukwaani Nikamshushe.
Sijui Hata alivyombeba alimpeleka wapi!!!!
.
.
Aaaah Ntafanyaje Mie Na Ndiyo Kazi Inayonifanya Niende Saloon!! .
.
By the way uliua…Show nzuri kama kawaida yako
Cc @usimsahau_mchizi_roma@usimsahau_mchizi_roma

Hata hivyo mashabiki wengi walimuunga mkono huku wengine wakimwambia kuwa mambo Kama hayo hutendeka lakini ikiwa Roma ni wake hakuna mwanamke yeyote anaweza kumchukua.

Tazama video hiyo hapa;

https://youtu.be/VA66Muo5-KE

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua