Mke Wangu Hakunilazimisha Kumuoa. :-Joti

Msanii wa maigizo ya vichekesho nchini Joti amefunguka na kukanushataarifa kuwa mke wake ndio ilikuwa sababu ya yeye kuoa kwa sababu alikuwa akimlazimisha kila siku kutaka kufunga ndoa, Joti anasema kuwa alipoona muda muafaka wa yeye kuoa umefika ndipo alipoamua kufunga ndao.

Hata hivyo Joti anasema kuwa pamoja na kwamba walikuwa katika mahasiano , mke wake mara nyingi alikuwa akimkumbusha kuhusu swala la ndoa lakini yeye alikuwa akifanya kama ahasiki amaneno anayoambiwa na mke wake mpaka pale alipoona kuwa sasa mke wake amenyamaza na muda umefika ndipo alipoamua kufunga ndoa.

download latest music    

Akiongea kwenye Leo Tena ya Clouds media Joti anasema “”wakatai tupo kwenye mahusiano mke wake alikuwa ananikumbusha sana kumuoa,kila akiniambia nilikuwa namwambia tulia, mpaka alipoacha kunkumbusha ndipo nilipomua bila kulazimisha

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.