Mke Wangu Hata Akitembea Uchi Sawa tu ;- Rayvanny

Msanii kutoka kundi la WCB  Rayvanny amefunguka na kusema kuwa kwa Dunia ya sasa hivi swala la mavazi kwake  halina shida sana  kwa sababu anajua kuwa Dunia ya sasa hivi mambo ya mavazi kila mtu anachukulia vile anavyoona yeye hivyo hata kama mke wake atavaa nguo za utupu kwake ni sawa tu.

Rayvanny ambae amekuwa akionekana kutulia sana katika swala la mahusiano na mwanamke aliekuwa nae tangu kipindi bado jina lake halijawa kubwa anasema kuwa  mavazi hayatasfiri tabia ya mtu kwa sababu kama mtu ana tabia ya uhuni hata akivaa dela au ushungi basi atakuwa hivyo hivyo hawezi kubadilika.

download latest music    

mtu akiwa mhuni hata vae dela au ushungi muda wote kama kupata wanaume atapata tu, na mavazi kwa sasa hayatasfiri tabia ya mtu lakini ni vile tu mtu anavyovutiwa na muonekano wako.Mimi hata siku moja siwezi kumpangia mke wangu avae nguzo za namna gani vyovyote atakavyo  vaa fresh tu hata aseme kuwa atatoka utupu mi niko poa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.