Mkude Simba Amjibu Steve Nyerere Kuhusu Tuzo za SZIFF

Muigizaji  maarafu kwa upande wa vichekesho Mkude Simba amejibu maneno ya Steve Nyerere ambaye alihoji kwanini wakongwe kama Ray, Irene Uwoya, Johari na wengine wengi hawakuwepo kwenye tuzo za movie za (SZIFF) zilizofanyika Mlimani City

Mkude amemjibu Steve na kumwambia kuwa sikutambua kusudio lake lakini ilikuwa sio lazima kila mwigizaji kuwepo kwenye tuzo hizo

download latest music    

Ambao movie tunazimiliki hatujauza haki zetu kwa muhindi ndio tuliweza kushiriki katika tuzo zile, lakini haimaamishi kwa wachekeshaji wote wawepo,” Mkude Simba aliiambia Bongo5

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.