Mkude Simba Amjibu Steve Nyerere Kuhusu Tuzo za SZIFF
Muigizaji maarafu kwa upande wa vichekesho Mkude Simba amejibu maneno ya Steve Nyerere ambaye alihoji kwanini wakongwe kama Ray, Irene Uwoya, Johari na wengine wengi hawakuwepo kwenye tuzo za movie za (SZIFF) zilizofanyika Mlimani City
Mkude amemjibu Steve na kumwambia kuwa sikutambua kusudio lake lakini ilikuwa sio lazima kila mwigizaji kuwepo kwenye tuzo hizo
“Ambao movie tunazimiliki hatujauza haki zetu kwa muhindi ndio tuliweza kushiriki katika tuzo zile, lakini haimaamishi kwa wachekeshaji wote wawepo,” Mkude Simba aliiambia Bongo5.