Monalisa Athibitisha Kuwa Balozi Wa Duka La Nguo

Muigizaji mkongwe wa Bongo movie Ivyonne Cherry maarufu kama Monalisa amefunguka na kukiri kuwa yeye ni balozi wa duka kubwa la nguo na hivyo huwa anauza pia.

Gazeti la Ijumaa linaripoti kuwa limemkuta msanii Monalisa akiwa maeneo ya Magomeni Usalama  jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya duka Bannat World akiwahudumia wateja kama kawaida.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Monalisa alisema kuwa yupo dukani hapo kwaajili yeye ni balozi wa duka hilo na mara nyingi mwisho wa mwezi wanafanya punguzo la bei hivyo nakuwepo dukani hapo kwaajili ya kuwahudumia wateja wanaokuja hapo.

Niko hapo nawahudumia wateja kama balozi wa Bannat World na mara mwisho wa mwezi nakuwepo hapa nawahudumia wateja” .

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.