Monalisa Kuja na Tamasha Kwa Ajili Ya Wanawake

Msanii mkongwe wa Bongo movie Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa ametangaza Fursa kwa ajili ya wanawake ambao ni wasanii pia kwa ajili ya kuuza kazi zao.

Monalisa amezungumza na waandishi wa habari na kutazangaza good news aliyowaletea wanawake wakitanzania wanao jihusisha na sanaa haswa wale watayarishaji wa filamu wakike ambao watapata nafasi ya kuonesha kazi zao kwenye tamasha la AWAFEST  litakalo fanyika siku tatu hapa hapa bongo.

download latest music    

https://www.instagram.com/p/Btyyl15BkAu/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=3v9i2d28xd6o

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.