Moze ni Upande Wangu Mwingine, Lazima Nimfatilie-Aunty Ezekiel.

Msanii wa bongo fleva na mjasiliamali Aunty eEzekiel amefunguka  na kutoa sababu kubwa inayomfanya awe anafatilia kila kinachosemwa katika mitandao ya kijamii kuhusu moze iyobo ambae ni baba wa mtoto wake wa kike.Aunty anasema kuwa Moze ni boyfriend wake na upande wake wa pili hivyo ni lazima afatilie kwa sababu kuna baadhi ya vitu vinaweza kutokea na kumuathiri hata yeye pia.

Mose ni boyfriend wangu , ni mtu ambae naishi nae ,so lolote linaweza kutokea katika mitandao siku yoyote na kwa sababu ni upande wangu mwingine ninaweza kusema, na kila kinachotokea inakuwa kinanihusu hata mimi pia so ishu yoyote hata mimi inanihusu.

Pia Aunty amezungumzia swala la yeye kutoa movie yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la mama ambayo amecheza na mwane wa kike Cookie ambapo amecheza kama mtoto wake.

download latest music    

Aunty anasema kuwa kutokana na hadhi ayke katika tasnia ameona ni bora kucheza short film hiyo kwa sababu sasa hivi yeye ni mama hivyo anataka kuwaonyesha watu matatizo wamama wanapiatia hasa katika mazingira magumu.Hivi karibuni kulisambaa picha za aunty akiwa na mtoto wake mgongoni , na kusemekana kuwa wanatoa movie mpya hivyo yeye mwenyewe amethibitisha hilo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.