Mpenzi wa Harmorapa Nae Achora Tattoo.

Mwanadada aliejulikana kwa jina la Madam Ziot ambae hivi karibuni picha zake zilisambaa sana katika mitandao ya kijamii akiwa na msanii wa muziki Harmorapa ameamua kuchora tattoo ya mpenzi wake huyo katika maneo ya mkono wake.

Harmorapa amabe hapo awali ilisamba kuwa amepata mwanamke mpya mwenye makazi yake huko Mwanza na kuwa mwanamke huyo amekuwa akimlea na kumpa kila kitu ameamua kuwafunga watu midomo kwa kuchora tatoo yenye jina la Harmorapa.

download latest music    

Haijajulikana kama kweli wawili hao kweli wapo katika mahaba mazito au kuna kiki tu wamekuwa wakitafuta kutokana na matukio ya kiki za Harmoarapa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.