Mpenzi wa Vanessa Mdee amwadikia ujumbe huu kumsheherekea siku ya kuzaliwa

Image: Jux-na-Vanessa-Mdee

Msanii wa Bongo Juma Jux amewaacha wengi wakiulizana maswali baada ya kumuandikia mpenzi wake Vanessa Mdee ujumbe wa kufurahisha roho kumsheherekea siku yake ya kuzaliwa.

Ujumbe huu umekuja wakati ambao mashabiki wengi walidhani kuwa wawili hao waliluwa wameachana. Kwa kufanya hivyo Juma Jux amedhibitisha kuwa mapenzi yake kwa Vanessa bado yako na kutupilia mbali fununu hizo.

download latest music    

Jux aliandika kusema,

Happy birthday ?#eastafricanqueen @vanessamdee more life n God bless you mama #bestfemaleartist #moneymondays,”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua