Mpiga Picha wa Diamond Afunguka Kuhusu Picha za Hamisa

Mpicha picha wa Diamond anaejulikana kwa jina la lukmba amefunguka kuhusu picha za hamisa zilizowahi ku-trend sana katika mtandao siku chache tu kabla ya Zari kutangaza kuachana na Diamond na kusababisha watu kuanza kumtukana mpiga picha huyo kuwa yeye pia ni mnafiki kwa sababu amekuwa akipiga picha wanawake wa bosi wake bila kuwa na aibu ya kuwa nao karibu wote.

Hapo awali mpiga picha huyo amabe mara nyingi alikuwa akitembea na Zari muda mwingi kwa ajili ya kumpiga picha alikuja kuonekana akipiga picha kwa hamisa na ndipo watu walipoanza kupaniki na kumtukana .hata hivyo lukamba amefungua na kuongelea swala hilo na kusema akiwa kama mpiga picha wa lebel , Hamisa alikuja kupiga picha kwa ajili ya Photoshots za Wasafi tv.

download latest music    

Japokuwa watu walinitukana sana lakini mimi ninafanya kazi, boss wangu ana tv na  aliniambia kuwa natakiwa kufanya shooting za watu mbalimbali na sikufanya na hamisa peke yake kwaio nikafanya , ilivyokuwa na watu walivyoipokea ni tofauti.-Alisema Lukamba alipokuwa akiongea na Bongo5.

watu wengi walikuja juu na kumtukana kutokana na ukweli kwamba lukamba siku chache alikuwa akimpiga picha zar na ghafa kuhamia kwa hamisa , ndipo walipomuona msaliti kwa sababu wanawake hao wawili hawaelewani.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.