Mpinzani Wangu Alikuwa Ngwea :-Chid Benz

Msanii mkongwe wa bongo fleva nchini Chid benz amefunguka na kusema kuwa katika maisha ya usanii kila msanii anakuwa na wimbo wake ambao unakuwa mkubwa na wa kumfanya atambulike sana kuliko wimbo mwingine na hakuna mtu anaweza kukataa hilo.

Hata hivyo Chid anasema kuwa pamoja na hayo kwa upand wae anaamini kuwa ngoma ambayo ilimfanya kukaa na kutambulika sana katika gemu ni ngoma ya Dar es salaam stand up ambao ulimfanya kupata mashabiki wengi sana,

download latest music    

Hata hivyo Chid anasema kuwa kwa anavyoamini yeye , hakuna msanii mwingine anaweza kulinganishwa na yeye zaidi ya marehemu Ngwe a ambae alikuwa anaona kuwa ndie aliekuwa akimkimbiza sana katika game la muziki kipindi hicho na hakuna mwingine anaweza kutokea.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.