Mr. Blue Anyoosha Mikono kwa Diamond Platinumz.

Kwa muda mrefu msanii Kheri Sameer (Mr Blue) amekuwa yupo kwenye bifu zito na Diamond Platnumz Simbaaaaaaaa ,mara kwa mara Blue amekuwa akimponda Diamond Platnumz lakini waswahili husema jibu la mjinga ni kumkalia kimya tu ipo siku ata erevuka,na siku zote kama unajua unajua tu watu watapiga kelele mwisho wa siku watanyoosha mikono bila kupenda.

Sasa bhana Diamond a.k .a mzee wa minyoosho anazidi kuwanyoosha tu watu , na mmoja mmoja anaanza kunyooka , alianza kunyooka ,Richi Mavoko,akafuatia H-baba ,akaja Baraka the Prince sasa zamu ya Mr Blue naye kanyooka bila kupenda ,Ha ha ha ha team Kiba inazidi kusambaratika tu, hapo amebaki Tundaman na adui kuu Ally Kibanio

download latest music    

Yani Blue kanyooka haswaaa ,tena kasindikiza na Caption Mungu ni mwema maana alijijua alichokuwa anakifanya ni kitendo cha kijinga ,kapitwa na fursa nyingi kwa kitendo chake cha kumchukia Diamond.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.