Mr Nice Ajibu Tetesi za Kukwama Kampala

Kulisambaa kwa taarifa kuwa msanii mr nice amekwama jijini kampala kwa sababu tu meneja wa abtexpromotion alishindwa kumlipa pesa yake kama walivyokuwa wamekubaliana ambapo Mr nice alitakiwa kufanya show katika moja ya kumbi kubwa jijini humu.

Hata hivyo baada ya hapo taarifa zilisema kuwa tangu mwezi june mr nice amekwama nchini humo kutokana na hali yake kuwa mbaya na kwamba alikuwa amefikia moja ya hotel kubwa jijini humo.

download latest music    

Hata hivyo msanii huyoa ankanusha taarifa hizo na kusema kuwa pamoja na kwamba Abtex promotion ilishindwa kumlipa lakini sio kweli kuwa alikwama na kushindwa kujikimu akiwa nchini humo na hata kuaki kwake ni kwa ajili yakazi zake za kawaida zinazoendelea.

Kuna uvumi kuwa mr nice amekwama kampala, inawezekana kweli kukwama katika eneo langu.Abtex hawakunilipa hata asilimia moja, na nilipata mateso sana lakini Mr. Nice ni jina kubwa nikajitenga kwenye hali hiyo mwenyewe.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.