Mr. Nice awashangaza watu kwa kutokea kwenye video mpya ya Harmonize

Msanii Lucas Mkenda maarufu kama Mr. Nice anatrend kwenye mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuonekana kwake kwenye video mpya ya Harmonize.

Staa huyo aliyevuma zamani alihamia Kenya kwani hakua anapata kiki Tanzania. Hata hivyo kutokea kwa Mr. Nice kwenye wimbo mpya wa Harmonize – ‘Sifa’ kumedhibitisha kuwa nyota huyo wa zamani bado anafanya kazi na wasanii wa Tanzania.

download latest music    

Wimbo huo wa Harmonize unaangazia maisha ya Mr. Nice alipopata pesa na kuwa mtu maarufu na maisha yake alipofilisika.

Tazama video hio hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere