Mrembo Aliye Kwenye Penzi na Dudubaya Ajitokeza (+picha)

Mrembo anayejulikana kwa jina la Khadijah Ziota kutoka mkoani Mwanza amejitokeza na kukiri kuwa katika penzi zito na Msanii huyo mkongwe siku chache Baada ya picha zao kusambaa mtandaoni.

Wiki iliyopita Msanii Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya ‘Konki Master’ alihudhuria tamasha la Wasafi Festival mkoani Mwanza na mara moja alionekana akiwa karibuni sana na mwanamke huyo.

download latest music    

 

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Khadija amesema kwa kawaida yeye anapenda wanaume wa type ya Dudu Baya, hivyo amemzimia hata Dudu a,empenda kwa sana huku akitamba kuwa wana mpango wa kuoana na kuwa mke na mume.

Kwa sababu picha zimesambaa na watu wameona, kama umeona picha inajitosheleza, kama huwezi kusoma hata picha ushindwe kuelewa? Konki Master ameniona akanielewa, amenipenda na mimi ninampenda, hapo baadaye nonatarajia kuwa mama watoto wake”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.