Mrembo Aliyedaiwa Kubeba Ujauzito Wa Harmonize Aomba Radhi

Mrembo ambaye ni msanii wa nyimbo za Injili kutoka Kenya anayejulikana kama Veronica Wanja ‘Nicah The Queen’ amewaomba radhi mashabiki zake baada ya taarifa kuenea Kwenye mitandao ya kijamii kuwa ana ujauzito wa Harmonize.

Wiki iliyopita kuna picha iliyosambaa Kwenye media iliyomuonyesha Harmonize na Mrembo huyo wakiwa kwenye pozi zero distance hali iliyopelekea kuibua Tetesi za kuwa wapo kwenye mahusiano ya kimapenzi.

download latest music    

Veronica ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwaomba radhi mashabiki zake lakini pia kanisa lake kwa stori hiyo ya kumchafua na kusisitiza kuwa yeye sio mjamzito kabisa na wala hana uhusiano na Msanii huyo.

I owe all my fans the truth and an apology for all those who support my ministry, I have never been into a relationship with Harmonize, I’m not pregnat . We took this photo sometime last year at the studio, I have never met him again ever since.

Harmonize is in a loving and serious relationship with his girlfriend. I admire his hard work and I like his music. There’s nothing between me and him”.

Baada ya Tetesi hizo Harmonize ameonekana mkoani Mwanza na mpenzi wake Sarah walipoenda kufanya shoo siku ya Jumamosi.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.