Mrembo Sanchoka Aweka Hisia Zake Juu Ya Dr. Shika Hadharani

Mrembo anayetingisha mitandao ya Kijamii kama Instagram kwa umbo lake matata Sanchoka au maarufu kama Sancho World amefunguka nakudai kuwa yuko tayari kuolewa na Dr. Shika ‘900 Itapendeza’.

Dr. Shika alipata umaarufu wiki chache zilizopita baada ya kwenda kwenye mnada wa nyumba za Lugumi na kuhaidi kuzinunua kwa mabilioni ya pesa lakini mara baada ya mnada kuisha Dr. Shika alishindwa kuzilipia na hivyo kuishia kupelekwa polisi. Baada ya kuachiwa huru Dr. Shika aliishia kupata umaarufu baada yakupata attention kubwa kutoka kwa waandishi wa habari iliyopelekea kupata nafasi mbalimbali za kushiriki kwenye matangazo ya kampuni nyingi ambayo yanamuingizia pesa nyingi.

download latest music    

Mrembo Sanchoka amejizolea umaarufu baada ya kuzoea kuweka picha za utupu ambaxo zinaonekana kuwavutia hasa wanaume kutokana na umbo lake la kuvutia.

Sanchi amemtolea macho Dr. Shika amefunguka na kudai kuwa anautamani sana umaarufu waDr. Shika kwasababu hajatumia ngumu kubwa. Sambamba na hilo Sanchi amesema kama Dr. Shika mzee wa 900 Itapendeza Kama atanunua kweli nyumba za Lugumi basi atakubali hata kufunga naye ndoa kwani Dr. Shia naye ni mwanaume, Sanchi ameyafunguka hayo baada ya kuulizwa kama yuko tayari kuolewa na Dr. Shika.

Sanchi aliweka wazi tangu mwanzoni kuwa anataka kuolewa na mwanaume mwenye hela kwani bila mahari ya miliobi kumi basi hataolewa.

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.