Msami Aongelea Kurudiana Kwa Rihana na Chris Brown

Siku chache zimepita tangu katika ukurasa wa mwanadada Rihana kuonekana kuna comments ya msanii Chris Brown akisifia jambo fulani kuhusu picha aliyokuwa ameweka na vazi alilokuwa amevaa.

watu walianza kuhoji kuwa inawezekana wawili hao kwa sasa wamekuwa na mahusiano ya karibu au hata wanataka kurudisha mapenzi yao tena kama zamani hata kama waliwahi kugombana na kuingia katika mgogoro mkubwa ?

download latest music    

Wila mtu aliongea lake,lakini moja ya wasanii wa bongo fleva nchini msami alipata nafasi ya kuongea na watangazaji wa clouds medai na kuulizwa swala hilo akiwa pia na yeye ni moja ya watu waliowahi kuwa na mahusiano na mwanadada maarufu bongo.

Msami anasema inawezekana hakuna hata nia ya kurudiana kati yao lakini tu kuweka maoni katika ukurasa wa mpezi wako wa zamani hilo ni jambo la kawaida tu.

kucoment kwenye ukurasa wa mpenzi wangu wa zamani ni jambo la kawaida tu wala sio kama kuna kitu cha ajabu hapo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.