Msanii Tox Star Akiri Kumkubali Vanessa Mdee

Msanii anayejulikana kama Tox Star amefunguka na kusema Katika wasanii wa kike kibongo Bongo basi kwa Vanessa Mdee ndio kafika.

Msanii huyu alipata umaarufu alipotoa wimbo uitwao Pretty Girl, aliomshirikisha Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’, ulimtambulisha vyema kwenye gemu la muziki wa Bongo Fleva.

download latest music    

Lakini baada ya kutoa hits chache chini ya uangalizi wa Ostaz Juma na Musoma kama  Kitaani akimshirikisha Dully Sykes lakini baadae msanii hiyo alipotea Kwenye ramani.

Kwenye Interview aliyofanya na gazeti la Risasi, Tox Star alifunguka kuwa hakuna msanii Bongo anayrmkubali kama Vanessa Mdee:

Vee Money. Kiukweli huyo dada ninamzimia sana na siku moja nitafanya naye kazi. Nikibahatika mashabiki wangu watauona ule wimbo wa mwanamuziki kutoka Marekani, Nelly uitwao Dilema ukirudi tena kivingine“.

Msanii huyo ametoa ngoma mpya  ijayo kwenda  jina la chukua ambao amedai ndio utamrudisha Kwenye chati tena.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.