Mtoto wa Hamisa Uso Kwa Uso na Familia Ya Diamond (picha)

Mtoto wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz na Hamisa Mobetto Dylan ameonekana kwa mara ya kwanza aliwa na Familia ya upande wa Diamond baada ya mgogoro wa muda mrefu.

Tangu Hamisa azae na Diamond Kumekuwa na sintofahamu kwani wanafamilia upande wa Diamond hawajawahi kuonekana wakiwa na mtoto wa Hamisa kama ilivyo watoto wengine wa Diamond na Zari.

download latest music    

Mama Diamond ameshawahi kudaiwa kumshushia kipigo kizito Hamisa baada ya kuweka wazi kumchukia baada ya kumuitia Shilawadu ili waweze kumpiga picha.

Lakini wiki chache zilizopita Mama Diamond aliweka wazi kuwa pamoja na  kuwa na  tatizo na Hamisa lakini hana tatizo na mjukuu wake Dylan na amethibitisha hilo kwani siku ya jana picha zilizomuonyesha Diamond, mama Yake na dada yake pamoja na Dylan zilisambaa mtandaoni:

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.