Mtoto wa Masogange Atusua.

Mtoto wa marehemuAgness Masogange ametyusua mtihani wa darasa la saba na kuwapa walzi matumaini ya kuendelea na kidato cha kwanza.

Mtoto huyo ambae hapo awali alikuwa akisoma shule ya serikali aliktaaa kuhamishwa kwenda shule ya binafsi baada ya mama yakekufariki ikiwa ni moaja ya wazo la waliokuwa wakitaka kumsomesha.

download latest music    

Hata hivyo ikimbukwe kuwa kipindi cha msiba wa mama wa mtoto huyo walijitokeza wat wengi wakitaka kumsomesha mtoto huyo ikiwa kama moja ya kutaka kulipa fadhilia kwa marehemu kutokana na kuwa alikuwa akipenda na kufahamika sana na watu kupitia kazi zake.

Sonia ambae kwa sasa amekuwa akilelewa na baba yake mzazi anategemewa kuendeleavizuri na masomo yake ikiwa dalili za awali zinaonyesh kuwa ni mtoto mwenye kupenda kusoma na kuleta mafanikio.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.