Mtu Anaeniita Kufanya Movie ni Lazima Anilipe Pesa Nyingi ili Kufidia Muda Wangu-Wolper

Mwanadada Jackline Wolper amefunguka na kuema kuwa pamoja na kwamba movie ndio kitu kilichomtambulisha katika tasnia lakini bado kwa aa anaona kuwa ni bora ajiingize zaidi katika kazi yake ya kushona kwa sababu anaona kuwa inalipa.

Wolper anasema kuwa sio kwamba yeye ni fundi lakini sio kwamba anajua kila kitu  kwaio hata  yeye pia ni mwanafunzi, kuna vitu anafanya na kukosea na kuna muda anaharibu vitambaa kwa kuvikata na kuvikosea hivyo bado anajifunza vitu vingi bado kwaio yeye ni fundi  mwanafunzi.

download latest music    

Akiongelea kuhusu maswala ya movie jackline anasema kuwa kwa ababu biashara yake kwa sasa imekuwa kidogo na kwamba anahitaji muda mwingi ana anahitaji kuifunza na kuwahudumia sana wateja wake kwaio ndio maana anaona kuwa ili mtu aweze kumpata kwa ajili ya kufanya movie  basi inabidi amlipe pesa nyingi sana ili kufidia ule muda mabao atakuwa ameupotza katika kufanya movies na sio kushona.

Ikumbukwe kwamba Wolper kabla ya kuamua kufanya kazi ya kuwa fundi cherehani ambacho ni kipaji  chake cha muda mrefu , alijulikana sana bongo kwa kuwa moja wa wasanii wa bongo movies waliokuwa wakifanya vizuri , lakini alipoona kuwa kuna kulega lega katika tasnia hiyo aliamua kurudi na kufanya kazi yake ya ufundi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.