Mume wa Mama Diamond Akubali kuwa Mshenga wa Diamond Nchini Kenya.

Mume wa mwanamama Bi Sandra amefunguka nia yake ya kutaka kumuozesha mtoto wa mke wake ambae ni mtoto wake wa kambo Diamond Platinumz kwa mwanadada Tanasha kutoka nchini Kenya huku akionekana kuji-commit kabisa kuwa yeye atakuwa mshenga,

Katika maongezi yao huko instagram,  uncle huyo anejulikana kwa jina la Rally Jones au Shamte, amesema kuwa haoni shida kwake kwenda mpaka nchin Kenya kwa ajili ya kuoa mwanmke anaependwa na mtoto wake.

download latest music    

Diamond alishatangaza tangu awali kuwa mwaka 201 ndio mwaka wake wa kuoa huku akitaja mpaka tarehe rasmi ya kufungwa kwa ndoa hiyo kuwa itakuwa siku ya valentine.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.