Muna Afunguka Kuhusu Ugawaji wa Nguo za Marehemu Patrick.

mwanadada muna love amefunguka na kuongelea swala linalosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu ugawajiwa nguo za mtoto wake aliyeafriki wiki chache zilizopita huku watu wakisema kuwa marehemu ameacha nguo nyingi sana kiasi kwamba wanashangaa muna atazipeleka wapi nguo hizo.

Huku watu wakijaribu kuraka kufuata mila na desturi za kawaida za kifamilia za kitanzania kuwamba kila baada ya 40 ya marehemu basi mali na kila alichoacha marehemu kinaweza kugawiwa kwa watu au kukabidhiwa mtu kwa ajili ya kukitunza , kukiendesha au kukimiliki basi hii ni tofaiuti kna kile anachokiamini muna kuhusu kila alichokiacha mtoto wake.

download latest music    

Muna ansema kuwa ajui chochote kuhusu 40 katika msiba kwa sababu ameshazika na amemaliza , anackofanya sasa ni kueneza neno la mung na kutoa ushuhuda, lakini pia hawezi kugawa nguo za mtoto wake hata kama zipo nying kwa sababu mtoto wake aliacha maona na inabidi yafuatwe hivyo haweiz kugawa nguo.

mimi ni mkristo , na mambo ya 40 siyajui, ninachojua mimi ukimaliza msiba tu unaendelea na mambo yako na kuhusu mavazi ya mwanangu sitayagawanya kwa sababu mwanangu aliacha maono na maono yake lazima yafuatwe.-Aliongea Muna akiwa nchini Kenya aliposema kuwa yupo katika kazi ya kulitukuza neno la Mungu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.