Muna Amtaja Baba wa Patrick kuwa ni Casto

Mwanadada muna love amewaita waandisi wa habari mapema leo nyumbani kwake kwa ajili ya kuongea nao kuhusu maswala yaliyokuwa yamezuka katika mitandao ya kijamii baada ya kutokea kwa msiba wa mtoto wake.

Muna anasisistiza kuwa pamoja na kwamba alikubali mtoto wake kufikia nyumbani kwa Peter lakini iyo aiwezi kubadilisa ukweli kuwa patrick ni mtoto wa casto na wala sio mtoto wa peter kama ilivyokuwa  ikieleweka hapo awali.

download latest music    

Muna anasema kuwa kwa sasa yeye ameokoka na hawezi kusema uongo kuhusu ukweli wa marehemu mtoto wake.

 nimeokoka na nina muamini Mungu, na bado nitaendelea kusimama kwenye ukweli kuwa Patrick baba  yake ni Casto

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.