Muna Love Amkana Peter Kweupe, Asema Hakuwahi Kuwa na Mahusiano Nae.

Mwanadada Muna Love ameibua mazito baada ya kukana kumjua peter kama mume wake wa ndoa na kusem akuwa peter anamchukulia kama baba yake , kama rafiki yake na kama ndugu na wala sio tofauti na hapo.

Alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, Muna alisema kuwa   hata ile nyumba ya Mwananyamala ambapo anakaa peter  na ndipo ilipofikia maiti ya mtoto wake Patrick  ni ya kwake na kwamba haikuwa na hati bali leseni ya makazi tu wala sio vinginevyo.

download latest music    

nyumba ya mwananamala ni ya kwangu na kila kitu kinachohusu mwananamala ni cha kwangu na hata document ninazo ile numba haina hati ila ina leseni ya makazi,mimi peter nilipokuwa nakaa nae alikuwa kama rafiki na kama mtu wangu wa karibu tu , tuliamua kufanya msiba wa baba pale kwa sababu mimi nilikuwa katika mahusiano na mtu mwingine.

 

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.