Mungu Nisamehe Naenda Kuiba Mume wa Mtu :-Irene Uwoya
Mwanadada Irene Uwoya ameacha guzo katka mitandao baada ya kuweka picha na caption inayoashiria kuwa kuna kitu anaenda kukifanya na anakijua anakifanya kwa makusudi ikiwa kama swala la kulipiza kisasi kwa kile alichowahi kufanyiwa yeye.
Irene anasema kuwa anajua kuwa anakwenda kuiba mume wa mtu lakini anaomba kusamehewa na Mungu kwa sababu hata yeye wakati wa kwake wanamuiba hakusema kitu alinyamaza kimya.
Ikumbukwe kuwa Irene alikuwa mke halali wa Dogo Janja lakini walikuja kuachana baada ya skendo ya mume wake huyo kusemekana kuwa alitoka kimapenzi na wema sepetu.