Muonekano mpya wa Idris Sultan baada ya kupaka ndevu zake rangi kuo (Picha)

Idris Sultan amebadilisha muonekano wake wa sura, muigizaji huyo sasa amepaka ndevu zake rangi ya hudurungi.

Hapo awali Idris hakuwa na mashurubu, alikua anakaa kijana chipukizi bila kuwa na nyweli kwenye mashavu.

download latest music    
Muonekano wa Idris wa kitambo

Kwa sasa Idris ameamua kupaka ndevu zake rangi, anadai kuwa aliamua kubadilisha muonekano wake wa sura kwasababu alitaka kufanana na Lionel Messi – mshambuliaji wa timu ya Barcelona.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere