Mwana FA na Richie Walamba Shavu Nono BASATA

Mwanamuziki wa mkongwe wa Bongo fleva Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA na msanii mkongwe wa Bongo movie Single Mtambalike ‘Richie’ wamelamba Shavu nono baada ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa bodi ya BASATA.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli amemteua bwana Habbi Gunze kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) na leo Waziri mwenye dhamana ameweza kuteua wajumbe watano,miongoni mwa wajumbe hao wapo wasanii wawili ambao ni Mwana FA pamoja na Single Mtambulike – Richie.

download latest music    

Kufuatia uteuzi huo hii ni nafasi nzuri kwa wasanii kuhusu kwa katika mambo mbali mbali yanayohusiana na BASATA kutokana na kuwahi kulalamika kutoshirikishwa katika maamuzi kadhaa kama kutunga baadhi ya sheria.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.