Mwanaheri Akanusha Kuacha Sanaa Baada ya Ndoa

Mwanamaigizo na mcheza filamu bongo, Mwanaheri amefunguka na kuongelea tetesi zinazosambaa na kusema kuwa amepigwa stop kufanya kazi za sanaa na mume wake Khamis baadaya kumuoa, mwanadada huyo amefunguka na kusema kuwa habari hizo sio za kweli na wala hajaachana na kazi za sanaa.

Akiongea na mwandishiwa habari, Mwanakheri anasema kuwa alishazisikia habari hzio katika mitandao lakini hazina ukweli wowte kwa sababu mume wake amekuwa akiipenda sana kazi yake hivyo hawezi kumzuia kufanya kazi hiyo.

download latest music    

Mimi mume wangu anaheshimu sana na kuipenda sana kazi yangu kwaio kamwe hawezi kukaa na kunizuia kuifanya kazi hiyo,bado naendelea na sanaa wala ndoa hainizui kitu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.